• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Video

  • Mashindano ya UMISETA Dodoma Mjini yafikia kilele

    May 31st, 2021

    MWAKILISHI wa Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Mhe. Sospeter Mazengo amewakambidhi washindi wa mashindano ya UMISETA ngazi ya wilaya kwa upande wa mpira wa miguu na pete. Zawadi hizo zimetolewa katika uwanja wa mpira wa Shule ya Sekondari Dodoma.

    Zawadi hizo amezitoa kama pongezi kwa timu ya mpira wa miguu na mpira ya pete lengo likiwa ni kuwapongeza na kuwafanya waongeze juhudi zaidi katika mashindano mengine yatakayokuwa yanaendelea.

    Mazengo amesema michezo ni kitu kizuri kwakuwa inaburudisha na pia michezo ni ajila, watu wengi wameweza kuajiliwa, pia michezo ni afya inafanya wachezaji wawe na afya njema, hivyo ni vyema wanafunzi wakashiriki katika michezo kwa kuwa ina faida nyingi.

  • Mtaka akabidhiwa ofisi Dodoma na mtangulizi wake Dkt. Mahenge

    May 31st, 2021

    MKUU wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka amepokea taarifa ya makabidhiano ya Ofisi kutoka kwa Dkt. Binilith Mahenge aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Singida.

    Hafla ya makabidhiano ya Ofisi hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita tarehe 21 Mei, 2021 ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na kuhudhuriwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama, Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Dodoma, Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Taasisi zilizopo Mkoani Dodoma, Viongozi wa Dini na wawakilishi wa Wazee wa Mkoa wa Dodoma.

  • Mkurugenzi Mafuru atatua mgogoro wa ardhi uliodumu miaka 30 Dodoma

    May 20th, 2021

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru ametatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 30 katika Mtaa wa Ndachi na kuwawezesha wananchi kupata hati za kumiliki maeneo yao kwa mujibu wa sheria.

    Mkurugenzi Mafuru ametatua mgogoro huo katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo kwenye uwanja wa michezo katika Mtaa wa Ndachi uliopo Kata ya Mnadani jijini hapa. Mafuru amefafanua kuwa wananchi hao wamekosa maendeleo kwa muda mrefu kutokana na kuwa na migogoro ya ardhi iliyodumu kwa muda mrefu.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • Next →

Matangazo

  • TANGAZO: Majina ya Waliofaulu Usaili haya hapa April 24, 2018
  • EPUKA UTAPELI May 09, 2017
  • Usafi wa Mazingira January 27, 2017
  • Njia Mpya za Daladala Dodoma Mjini March 29, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Watoto kulindwa dhidi ya ukatili wa kijinsia wilayani Dodoma

    December 15, 2024
  • Wasimamizi miradi Jiji la Dodoma watakiwa kuwa wazalendo

    December 14, 2024
  • Mavunde akabidhi nyumba kwa watoto walioangukiwa nyumba Dodoma

    December 13, 2024
  • Matumizi sahihi ya Kemikali hayaepukiki- Dkt. Jingu

    December 12, 2024
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.