• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Video

  • Mkoa, Jiji Dodoma wajipanga kumzawadia Rais Samia

    January 15th, 2022

    MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amesema kuwa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dodoma watarajia kumpa zawadi Mhe. Rais Samia kwa kumaliza jengo la kisasa litakalotumiwa na wafanyabiashara wenye biashara ndogo (almaarufu kama wamachinga) ifikapo tarehe 17 Machi, 2022 ambapo Mhe. Rais Samia atakuwa anatimiza mwaka mmoja tangu achukue nafasi ya kuongoza nchi kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

    Aidha, amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kazi nzuri inayoendelea katika ujenzi wa jengo la kisasa la wazi la wafanyabiashara wa biashara ndogo (Machinga) likiwahakikishia eneo salama la kufanyia biashara zao.

    Pongezi hizo zilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka alipoongoza Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Dodoma na viongozi wa Chama cha Mapinduzi ngazi ya mkoa kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo katika eneo la Bahi road leo.

    Mtaka alisema “tunawapongeza sana Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kazi nzuri. Naibu Meya peleka salamu kwa Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na madiwani kwa kazi nzuri. Mkurugenzi wa Jiji tunakupongeza sana. Mradi huu ni kielelezo kwamba una uwezo mkubwa wa kuongoza katika nafasi yako”.

  • Jiji Dodoma latatua changamoto ya eneo la 'Machinga'

    January 14th, 2022

    Jiji Dodoma latatua changamoto ya eneo la 'Machinga'.

  • Kupunguza ukatili wa kijinsia, DC Shekimweri aja na maazimio ya kusaidia

    December 14th, 2021

    DC Shekimweri aanika na maazimio ya kusaidia

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • Next →

Matangazo

  • Majina ya Makarani, Wasimamizi Maudhui na Wasimamizi TEHAMA waliochaguliwa kufanya kazi ya SENSA 2022 July 28, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili Makarani na Wasimamizi Maudhui - SENSA 2022 July 18, 2022
  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili Wasimamizi wa TEHAMA - SENSA 2022 July 17, 2022
  • Tangazo la nafasi za ajira za Jeshi la Magereza kwa mwaka 2022 June 02, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Wataalam wa Mawasiliano na Maendeleo ya Jamii washiriki kubainisha watoto wenye mahitaji maalum

    January 30, 2025
  • Alhaj Shekimweri ahamasisha umuhimu wa mazoezi kwa wachezaji Dodoma Jiji FC

    January 29, 2025
  • Dodoma Jiji FC kujichimbia Arusha kujiwinda na duru ya pili ya NBC PL

    January 29, 2025
  • Waganga Wafawidhi wa Jiji la Dodoma wapatiwa mafunzo ya Mfumo wa NeST

    January 29, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.