Imewekwa tarehe: August 14th, 2025
Na. Sofia Remmi, DODOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amepokea na kukabidhi vifaa vya michezo, vya kujifunzia pamoja na vitendea kazi vya watoa huduma za afya ngazi ya Jamii ili viweze...
Imewekwa tarehe: August 18th, 2025
OR- TAMISEMI, Tabora
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais -TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Atupele Mwambene, amesema Serikali kupitia miradi mbalimbali imeendelea kuboresha mazingira ya kufundishia na ...
Imewekwa tarehe: August 17th, 2025
Na. Hellen M. Minja
Habari - DODOMA RS
Afisa Elimu Mkoa wa Dodoma Mwl. Vicent Kayombo ametembelea na kukagua maandalizi ya Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi...