Imewekwa tarehe: November 14th, 2019
SERIKALI imewaagiza viongozi wa mikoa na wilaya watoe taarifa kama maeneo yao yana upungufu wa chakula na ni kiasi gani kinahitajika.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema leo bungeni mjini Dodoma ku...
Imewekwa tarehe: November 10th, 2019
Serikali kupitia Wizara ya Afya imefanikiwa kupunguza maambukizi ya malaria kwa takribani asilimia 50% kutoka 14.8% mwaka 2015 mpaka kufikia 7.3% mwaka 2017.
Hayo yamesemwa jana na Waziri wa Afya, ...
Imewekwa tarehe: November 9th, 2019
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imefanikiwa kuwaburuza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo katika mchezo wa kuvuta kamba wanaume.
Katika mchezo huo ulioshuhudi...